![]() |
| Hapa ndo City Center jengo linaloonekana ni CRDB Bank na kwa upande wa pili ni Soko kuu la Lindi wenyewe twaita Soko kubwa |
![]() |
| Huu mtaa upo maeneo ya Posta ukiinyoosha huko mbele unakuta Stand kuu ya Mabasi |
![]() |
| Hapa ni maeneo ya Police Linena hii inayoonekana kwa mbele ni karakana yao |
![]() |
| Hapa ni Ofisi ya Posta sehemu ya kuingilia |
![]() |
| Hapa mitaa ya Uhindini yaani maeneo haya wanaishi wahindi sana waswahili ni wachache tu wa kuhesabu na ukinyoosha kule mbele unaelekea Stand kuu ya Mabasi pia |
![]() |
| Hapa wapi vileeeeeeee mbona sikumbukii |
![]() |
| Hii ni ofisi ya TTCL na iko maeneo ya Posta |
I LUV LINDIIIIIIIIIIII!!!!!









No comments:
Post a Comment