Tuesday, October 30, 2012

USAFIRI WA TRENI JIJINI DAR ES SALAAM WAANZA

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe (katikati) akiwasili kupanda treni kituo cha Tazara kuelekea mjini kufanya uzinduzi.
Treni ikiwasili Kituo cha Ubungo Maziwa.
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ndani ya treni.
Tangazo la treni jijini Dar.
Kwa usafiri wenye utulivu kama huu kwa nini usijisomee kwenye treni.
Ukaguzi wa tiketi ndani ya treni.
Usafi wa Ndani ya Treni.
Baadhi ya Maeneo yakiendelea na Matengenezo.
Tiketi zikikatwa ndani ya treni.

Hapa ndipo wanapotangaza na kutoa burudani ndani ya treni.
Baadhi ya abiria wakishuka na kupanda kwenye treni.
Baadhi ya abiria wakiingia kwenye treni.
Ulinzi ni Mkali.
 

No comments:

Post a Comment