Wednesday, October 17, 2012

Watambue Mabalozi wa Tanga Beach Resort

Mabalozi wa Tanga Beach Resort 2012, Happiness Rweyemamu (kulia) na Fina Revocatusi, wakipiga picha ya pamoja wakati wa kukabidhiwa vyeti na zawadi zao za kuwa mabalozi wa TRanga Beach Resort 2012. Warembo hao ni miongoni mwa washiriki wa  Redds Miss Tanzania 2012.



 Mabalozi wa Tanga Beach Resort 2012, wakipiga picha ya pamoja na viongozi na wafanyakazi wa Hoteli hiyo baada ya kukabidhiwa vyeti vyao.
 Washiriki wa Redds Miss Tanzania 2012 wakipiga picha ya pamoja na Mabalizi wa Tanga Beach Resort.
 Mkurugenzi Mkuu wa Hoteli ya Tanga Beach Resort, Hamisi Kindoroko (kulia) akimkabidhi zawadi Balozi wa Hoteli hiyo, Hapiness Rweyemamu. Katikati anae shuhudia ni Mkurugenzi wa Lino International Agency waandaaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga. Mbali na zawadi hizo pia warembo hao walipata mkataba wa ajira.
Mkurugenzi Mkuu wa Hoteli ya Tanga Beach Resort, Hamisi Kindoroko (kulia) akimkabidhi cheti Balozi Mdogo wa Hoteli hiyo, Fina Revocatus. Katikati anae shuhudia ni Mkurugenzi wa Lino International Agency waandaaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga. Mbali na zawadi hizo pia warembo hao walipata mkataba wa ajira.

No comments:

Post a Comment