Friday, July 22, 2011

TOTOO ZE BINGWA KUZINDUA HII MAMBO HAIELEWEKI KESHO

Rapa aliyejipatia umaarufu mkubwa hapa nchini kupitia bendi yake ya Akudo Impact, TOTOO ZE BINGWA kesho anatarajia kuzindua album yake inayofahamika kwa jina la Hii Mambo haieleweki.  



Akizungumza na BLOG hii TOTOO ZE BINGWA amesema Album hiyo ina nyimbo nane ambazo ni dozi, sina neno lingine,Discipline,amekubalika,Jamani,Siku hiyo,World Cup na Hii mambo haieleweki iliyobeba jina la Album hiyo.

Mali na uzinduzi wa Album hiyo pia anatarajia kuzindua kikundi chake cha Sanaa kinachojulikana kwa jina la "sanaa sanaa" na Uzinduzi huo utasindikizwa na Bendi yake ya Akudo Impact, Benjamin wa Mambo Jambo, 20% na Wanamuziki wengine kutoka nchini Kenya.

No comments:

Post a Comment