Friday, July 15, 2011

PARTY YA PONGEZI KWA YANGA NYUMBANI LOUNGE- ILINOGAJEEE???

Jide muandaaji wa Party hiyo katika Picha ya pamoja na Wana Yanga

Nsajigwa Team Captain akishuhudia kinywaji kinavyomiminwa, inaonyesha anakitamani mwenyewee

Hongera ASAMOAH kwa kutupatia ushindi, na hii ndiyo zawadi yako kaka


Mlezi wa Yanga FRANCIS KIFUKWE na wana Yanga wengine

Hiyo si kandambili kama unavyoionaa ni Cake hiyo, mambo ya ubunifu tuuu ya JIDE hayo

Mwenyekiti akinena jambo hapo wakati MR & MRS kwa pembeni wakifuatilia kwa umakini

MR & MRS wakiwajibika hapo na kitu cha Champaigne

Upande wa Film Industry nao walikuwepo kuwakilisha lakini sina hakika km nao ni wana yanga au vp!!!

Baada ya yote hayo burudani ilifuata kama ambavyo unaona hapo picha inajieleza.... PICHA kwa HISANI ya JAYDEE

No comments:

Post a Comment