Friday, July 15, 2011

LINEX ANAKUJA NA SINA NGEKEWA

Baada ya kuteka soko la Burudani kwa ngoma zake "Mama Halima" na "Moyo wa Subira", Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya BONGO FLAVA (LINEX) anatarajia kutoa ngoma yake mpya inayoitwa SINA NGEKEWA.. LINEX amesema wimbo huo ambao umetengenezwa na Producer C9 kutoka KIRI RECORDS unatarajiwa kutoka mwanzoni mwa mwezi wa nane.. LINEX ameongeza kuwa wimbo huo ni muendelezo wa Album yake ya pili ambapo wiki moja mara baada ya ngoma hiyo kutoka ataachia na Video yake.

No comments:

Post a Comment