Tuesday, July 26, 2011

MAJALIWA KUTIMKIA MLIMANI PARK

SHUKURU MAJALIWA

MAJALIWA katikati akiwa na ROMARIO wakati akiwa na bendi ya Msondo Ngoma

Aliyekuwa mwanamuziki wa Msondo Ngoma Music Band(Baba ya Muziki) SHUKURU MAJALIWA ameihama bendi yake hiyo na kutimkia DDC Mlimani Park(Wana sikinde ngoma ya ukae).


Habari zaidi za kwa nini ameamua kuihama msondo na kukimbilia Sikinde sijazipata bado ila naendelea kufuatilia kwa umakini zaidi ili niweze kukujuza, endelea kutembelea hapa ili upate undani zaidi, pia usikose kufuatilia kwenye afrobeat utamsikia pia mwenyewe akizungumza mara baada ya kumpata.

No comments:

Post a Comment