Thursday, July 14, 2011

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF IDD AFUNGUA TAMASHA LA UTAMADUNI WA WATU WA OMAN

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,BALOZI SEIF IDD akiangalia Utengenezwaji wa Fimbo kutoka Oman katika Jumba la ajabu la Beit el Jaib, Unguja

Waziri wa Utamaduni wa Oman akitoa hotuba katika ufunguzi wa Tamasha hilo

Viongozi mbalimbali pamoja na wageni waalikwa wakiwa wamekaa katika jukwaa la wageni waalikwa wakati wa ufunguzi wa Tamasha

Mtalii akipata maelekezo kutoka kwa mcheza ngoma za kiutamaduni kutoka Oman

No comments:

Post a Comment