![]() |
| Wachezaji wa Simba wakichukua Medali na Zawadi yao ya Ushindi wa Pili |
![]() |
| Mashabiki wa SIMBA ziiiiii, hii ni baada ya Yanga kupachika bao |
![]() |
| Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni Mh. EMMANUEL NCHIMBI akimkabidhi Nahodha wa timu ya YANGA SHADRACK NSAJIGWA zawadi ya ushindi walioupata kiasi cha Dola za kimarekani Elfu 30 |
![]() |
| Mashabiki waliofurika uwanja wa TAIFA jijini DSM wakishuhudia pambano la YANGA na SIMBA |
![]() |
| Mashabiki wa Timu ya YANGA wakifuatilia Mpambano kwa umakini |
![]() |
| Mashabiki wa YANGA wakishangilia mara baada ya Timu yao kutwaa ubingwa |
![]() | |
| Nahodha wa Timu ya yanga SHADRACK NSAJIGWA akiwa amezungukwa na mashabiki wa timu hiyo wakishangilia Ubingwa walioutwaa |
![]() |
| Chezea YANGA weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! |









No comments:
Post a Comment