Sunday, July 24, 2011

ONYESHO LA TWANGA KUMCHANGIA MAALIM GURUMO LAFANIKIWA

Maalim GURUMO akitoa shukrani kwa Mkurugenzi wa ASET ASHA BARAKA na Wana ASET kwa onyesho hilo maalum kwa ajili ya kumchangia ambalo limefanyika Jumamosi ya July 23 katika ukumbi wa Mango Garden DSM.

Mkurugenzi wa ASET, ASHA BARAKA akifuatilia maongezi ya NAIBU MEYA wa Manispaa ya kinondoni Mh. SONGORO MNYONGE wakati wa Onyesho hilo

ASHA BARAKA akikabidhi mchango uliochangwa na wadau kwa MAALIM GURUMO

Kiongozi wa Msongo Ngoma SAID MABERA akimpa Support mzee mwenzie

Mashabiki na Wadau wa muziki wakiwa na baadhi ya waimbaji wa msondo ngoma.

No comments:

Post a Comment