Monday, July 25, 2011

MR. NICE AWAPONDA WALIOSEMA KAFULIA ATAMBA KURUDI KWA KASI

Mr. NICE na mwimbaji wake AMINA CHONCHOLICHO wakiimba kwa pamoja

Mr. NICE akiimba akiwa katikati ya wanenguaji wake wa Bush band

Mr. NICE akikumbushia enzi zake mashabiki kwa kucheza
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya ambae alikuja juu kwa Style yake ya TAKEU miaka kadhaa iliyopita Mr. NICE (Mfalme wa Takeu) ametamba kurudi tena kwa kasi huku akiaidi kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wakisema kuwa amefulia na hana jipya tena, Nice na Band yake inayofahamka kama Bush Band hupiga Show kila jumapili katika Hotel ya DEN FRENCE iliyopo Sinza jijini DSM.


Picha kwa Hisani ya Global Publishers

No comments:

Post a Comment