Wednesday, July 20, 2011

TAMASHA LA 17 LA MZANZIBAR LAZINDULIWA LEO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mh. MOHAMED ABOUD akihutubia wakati wa ufunguzi wa Tamasha hilo la 17 la Mzanzibar, lililofanyika katika ufukwe wa pwani ya Nungwi
Mh. MOHAMED ABOUD akizindua rasmi Tamasha hilo kwa kupiga bastola juu
Waimbaji wa Taarabu wa kikundi kutoka Zanzibar wakitumbuiza katika Tamasha hilo

No comments:

Post a Comment