Tuesday, April 17, 2012

WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO 2012 KUFANYA ZIARA MIKOANI

Afisa masoko wa Eatv Olympia Fraten akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara waliyoiandaa kwa ajili ya washindi wa Tuzo za Kilimanjaro 2012 katika mikoa mbalimbali nchini, ambapo amefafanua kuwa Eatv pekee itakuwa ikirusha ziara nzima ya wasanii hao.

Meneja masoko wa Bia ya kilimanjaro, George Kavishe(kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ziara ya washindi wa Tuzo za kilimanjaro(Kilimanjaro Tanzania music Awards 2012) katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Savannah Lounge jijini Dar es salaam kushoto ni Afisa masoko wa Eatv Olympia Fraten ambao ni waratibu wa ziara hiyo na kulia ni mmoja wa washindi wa Tuzo hizo Naseeb Abdul(Diamond)

No comments:

Post a Comment