Wednesday, April 18, 2012

HAWA NDIYO WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKAMASHARIKI

Mh.Makongoro Nyerere

Mh. Shy-Rose Bhanji

Mh. Angella Charles Kizigha
Pichani juu ni kati ya wabunge Tisa wa Bunge la Afrika Mashariki waliochaguliwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania, katika ukumbi wa Bunge Dodoma jana.

Wabunge wengine waliochaguliwa jana ni pamoja na Mwinyi Hassan, Taslim Twaha Issa,Kesi Ndelakindo Prepetua, Kimbisa Adam Omary, Yahya na Murunya Bernard.

Blog hii inawapongeza wale wote waliopata ushindi huo lakini pia inawatakia kila la kheri wale wote waliojaribu lakini kura hazikutosha na kuwatia moyo kuwa wasikate tamaa na wajaribu wakati mwingine.

No comments:

Post a Comment