![]() |
| Umati wa watu waliojitokeza kushuhudia nani ataondoka na nini |
![]() |
| Washereheshaji wa usiku huo walikuwa ni Millard Ayo( kushoto) na Vanessa Mdee |
| Bi Shakila, Patricia Hllary kutoka Bendi ya JKT pia walikuwepo kutoa burudani usiku huo |
![]() |
| Mpoki alituvunja mbavu zetu na kutuongezea siku za kuishi, yaani ilikuwa burudani ya kutosha sana |
![]() |
| Queen Darleen (katikati) alijinyakulia Tuzo ya wimbo bora wa Dancehall kushoto kwake ni Taji Liundi na Kulia ni Abby waliomkabidhi Tuzo hiyo |
| Mwanamuziki anayekuja juu kwenye muziki wa Taarab Isha Ramadhan(Mashauzi) akipokea Tuzo yake ya wimbo bora wa Taarab |
![]() |
| Malkia wa mipasho Afrika mashariki Khadija Omary Kopa, aliyenyakua Tuzo ya mtumbuizaji bora wa kike akiwa pamoja na binti zake na mume wake ambao walikuja kumpa Support usiku huo |
| Kiongozi wa bendi ya Twanga pepeta Luiza Mbutu akiwashukuru mashabiki kwa niaba ya Bendi |







No comments:
Post a Comment