Wednesday, April 11, 2012

CHUO CHA UFUNDI STADI VETA-LINDI CHAZINDULIWA RASMI


Mandhari ya jengo hilo la chuo cha ufundi stadi Veta-Lindi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal na balozi wa Korea hapa nchini Young-Hoon Kim kwa pamoja wakikata utepe kama alama ya uzinduzi wa chuo hicho kipya cha ufundi Stadi VETA-LINDI, uliofanyika jana chuoni hapo.Kulia ni Mkurugenzi wa VETA, Zebadia Moshi.


Jiwe la msingi
Baadhi ya vifaa vitakavyotumiwa na wanafunzi wa chuo hicho
Kibao cha utambulisho wa chuo hicho
Dk. Bilal akibonyeza kitufe cha alarm kuashiria uzinduzi wa chuo hicho kipya.  







No comments:

Post a Comment