Tuesday, November 13, 2012

TIGO WATOA VIFAA VYA NISHATI YA JUA KWA AJILI YA KUCHAJIA SIMU

Ofisa Masoko wa kampuni ya Tigo Jacqeuline Nnunduma (kushoto)  na Meneja Mradi wa Kampuni hiyo, Yaya N'dojere pamoja na Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Tigo, Mariamu Mlangwa wakionyesha kifaa cha solar kinavyoweza kufanya kazi ya kuchaji simu kwa njia ya nishati ya jua.
Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacquline Nnunduma kushoto  na Meneja Mradi  wa Kampuni hiyo, Yaya N'dojere wakionyesha kifaa cha solar kinavyoweza kufanya kazi ya kuchaji simu kwa njia ya nishati ya jua.
Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacqueline Nnunduma kushoto akionesha jinsi  ya kifaa cha solar kinavyoweza kufanya kazi kulia ni Meneja Mradi wa Kampuni hiyo, Yaya N'dojere.

No comments:

Post a Comment