Friday, November 2, 2012

JB MPIANA KUSINDIKIZA UZINDUZI WA RISASI KIDOLE DAR, MWISHO WA MWEZI

Mwanamuziki kuto DRC Congo JB Mpiana (pichani) anatarajia kufanya onyesho mwishoni mwa mwezi huu, katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar Es Salaam.

Waandaaji wa onyesho hilo wamesema itakuwa ni mara ya kwanza kwa JB kufanya onyesho Tanzania baada ya miaka 9 iliyopita na kuongeza kuwa lengo la onyesho hilo ni kuzindua Album mpya ya Mashujaa Musica iitwayo "Risasi Kidole" pamoja kwa kushirikiana na kampuni ya QS itakayokuwa ikijihusisha na masuala ya kukuza vipaji vya wasaniiwa muziki wa kizazi kpya hapa nchini.

No comments:

Post a Comment