Monday, November 5, 2012

DOGO ASLAY AWANIA TUZO ZA KORA MWAKA HUU

Akiwakilisha kundi la TMK wanaume Family Dogo Asley ametajwa na mtandao wa Kora All Africa Music Award kuwa ni mmoja kati ya wasanii watakauwepo kwenye kinyang'anyiro hicho mwaka huu akiwania tuzo ya Best New comer.

Hivyo wewe Mtanzania na shabiki wa muziki bongo unaombwa kutoa support yako kwa kumpigia kura dogo huyo ili aweze kujichukulia tuzo ambazo zinatarajia kutolewa December 29 mwaka huu nchini Ivory Coast.

Dogo Asley anawania Tuzo hiyo kupitia wimbo wake wa "Niwe nawe".

No comments:

Post a Comment