Wednesday, November 21, 2012

MAPOKEZI YA VIONGOZI WA CCM MTWARA

Maandamano ya pikipiki ya wanachama na wafuasi wa CCM Mkoani mtwara yakiongoza msafara wa Viongozi hao kuelekea Ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara.
Viongozi wa Juu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa wakiongozwa na Katibu Mkuu, Abdulrahaman Kinana, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatib wamewasilili mkoani Mtwara leo kwa ziara maalum ya kuimarisha chama hicho. Pichani kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara,  Mohamed Sinani akiwapokea viongozi hao katika Uwanja wa ndege wa Mtwara.

No comments:

Post a Comment