Sunday, November 4, 2012

REDD'S MISS TZ 2012 NI BRIGITTE ALFRED

Redd's Miss TZ 2012 Brigitte Alfred akia na furaha mara baada ya kutangazwa mshindi wa kinyang'anyiro hicho.
Redd's Miss Tz 2012 Brigitte Alfred (katikati) akiwa na mshindi wa pili Eugene Fabian (kushoto) na mshindi wa tatu Edda Sylvester (kulia) mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo lililokuwa likiwaniwa na warembo 30.

No comments:

Post a Comment