Thursday, November 22, 2012

MLOPELO AFARIKI DUNIA

Msanii wa maigizo wa siku nyingi aliyekuwa katika kundi la kaole na kutamba katika tamthilia mbalimbali zilizokuwa zikionyeshwa na kituo cha Televisheni cha ITV amefariki dunia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mlopelo alijipatia umaarufu mkubwa sana kutokana na aina ya uigizaji wake na nafasi alizokuwa akizicheza kama mganga wa kienyeji.

Mwenyezimungu aiweke roho ya marehemu mlopelo mahali pema peponi

No comments:

Post a Comment