Friday, November 23, 2012

DJ CHOKA AFUNGUKA KUHUSU MTOTO WAKE

Mdau mkubwa wa muziki bongo, DJ Choka (pichani) amezungumza na ENEWS ya Eatv  kuhusu furaha aliyonayo baada ya kupata mtoto wake wa kwanza jana.

DJ Choka amesema amefurahi sana kupata mtoto huyo wa kiume kwani kiu yake kubwa ilikuwa ni kupata mtoto wa jinsia hiyo ambae atakuwa si mtoto tu kwake bali ni rafiki yake kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa kiume kwenye familia yao.

Hongera DJ Choka kwa kupata Jembe.

No comments:

Post a Comment