Monday, February 27, 2012

IJUMAA TULIWATEMBELEA AKUDO NA MASHUJAA MUSICA

Safari ilianzia pale Mango Garden ambapo kulikuwa na burudani kutoka kwa Akudo Impact vijana wa masauti

Tulianza na Interview na wanenguaji kwa ajili ya Segment yetu ya kwanza kabisa ya Afrobeat inayohusu Mnenguaji ambae anajinadi na kujisifu awezavyo kuhusu ukali wake Stejini baada ya hapo anatuonyesha huo ukali wake aliotuambia, kama unavyoona pichani warembo wakijinadi na kucheza(Huyo mrembo juu anaitwa Nadine ndiye kiongozi wa wanenguaji wa Akudo)

Nadine kikazi zaidi

Anaitwa Ghaisa naye akituonyesha nyonga yake inavyoweza kufanya kazi
Hapo akijinadi
Huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Akudo Impact kila Akudo wanapokuwa wakipiga show lazima na yeye utamkuta.
Baada ya wanenguaji sasa ikafuata zamu ya
Huyu nae ni mdau mkubwa sana wa Afrobeat na Akudo anaitwa Jamillah nae pia alituonyesha umahiri wake wa kucheza na utamuona ndani ya Afrobeat kupitia Segment ya Rusha roho
Akiturusha roho
Mdada kazini
Rapa ya Akudo impact(Kanal Top)
Warembo kazini
Mussa Kondo Producer wa Afrobeat akijiachia na baadhi ya wanenguaji wa Akudo Impact
Baada ya kutoka Mango garden safari ikaelekea Business Park hapo walikuwepo Mashujaa Musica, kama kawa tukaingia na kupiga kazi(Pichani juu ni Charles baba na Jado Field Force)
Charles Baba akiwaongoza wanamuziki wenzake wa Mashujaa
Rais mstaafu Jado Field Force
Vijana kazini
Naye pia yumo
Kiongozi wa Mashujaa Musica Max kushoto na Mrembo hapo anaitwa Martha
Kama kawaida tulifanya Interview na sauti ya Radi akizungumzia kuhusiana na Tungo zake na muziki wake kwa ujumla
Charles Baba nae akielezea kuhusu Nyimbo anazotunga zinakuwa zinalenga nini hasa na suala la muziki kwa ujumla
Mussa Kondo na Rajab Kimanyo kikazi zaidi
Swagaaaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment