Monday, February 6, 2012

HAPPY BIRTHDAY SAM MISAGO PRESENTER'S PRESIDENT

Leo ni Birthday ya Sam Misago(Presenter's President) wa Eatv na Radio hivyo kwa kuwa yeye ni shabiki wa Man U mmoja kati ya marafiki zake Tundaman akamletea Cake ya Man U ingawa nimeigeuza lakini imeeleweka naamini hivyo.
Presidaa na kitu cha Man Uuuuuuuuuuuuu
Kipengele muhimu kikawadia maana muda huu ndo huwa unasubiriwa haswaaaa hayo mengine yanakuwa longo longo tu kwa wapenda ugonjwa huo, Allan Lucky Rais wa wanafunzi kutoka Skongaaaaaaa akipata Kipande.
Mmiliki wa MarygorethRichard Blog naye akajilia cha kwake kuwakilisha bloggers.
Fadhili nawe mzee wa E-news hupitwiiiiiiii
Happy alilalamika wee mbona Cake yenyewe inachelewa jamaniiii hatimaye zamu yake ikafika.
Presenter na Producer wake (Bhoke&Sam)
Zamzam a.k.a Mzungu hahahhahahhaa
Amallu, Producer wa Skongaaaaaaa
Yaani kama unavyoona hapo mimi ndo nilikuwa wa mwisho kulishwa keki, yaliyojiri zaidi yanakuja, Stay tuned.
Kutoka dawati la 5sport Muandaaji na mtangazaji Patrick Nyembera(Pattoo 6) kushoto na Editor Marco Killo kulia, wakiwa na Birthday boy mwenyewe.

No comments:

Post a Comment