Tuesday, May 21, 2013

PROFESSOR JAY AJIUNGA RASMI CHADEMA AKABIDHIWA KADI MUDA MFUPI ULIOPITA

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule (Professor Jay) amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).

Pichani ni Mheshimiwa Joseph Mbilinyi(Sugu) Mbunge wa Mbeya mjini kupitia CHADEMA akimkabidhi msanii huyo kadi ya Chama hicho muda mfupi uliopita mjini Dodoma.

Mpaka sasa tunafanya jitihada za kuzungumza na Prodessor Jay mwenyewe ili kupata maelezo zaidi kuhusiana na hatua yake hii Endelea kutembelea Blog hii ili kufahamu alichokisema.

No comments:

Post a Comment