Sunday, May 19, 2013

MBUNGE WA IRINGA MJINI ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA KUSABABISHA VURUGU

Pichani ni Mbunge wa Iringa Mh. Peter Msigwa
Namna hali ilivyokuwa wakati vurugu zikiendelea mkoani Iringa

Jeshi la polisi mkoani Iringa linamtafutafuta Mbunge wa Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo(Chadema) Mh. Peter Msigwa kwa madai ya kuchochea vurugu kwa kuhamasisha wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani humo maarufu kama wamachinga kufanya biashara katika eneo lisiloruhusiwa kwa shughuli hizo.

Watu zaidi ya 50 wanashikiliwa na polisi kwa kusababisha vurugu hizo ambazo pia  zimesababisha uharibifu wa gari la zimamoto.

No comments:

Post a Comment