Thursday, October 20, 2011

WIKI ILIYOPITA NILIAHIDI KUWALETEA PICHA ZAIDI ZA SHOW YA PAMOJA KATI YA EXTRA BONGO NA KHANGA MOJA NDEMBENDEMBE!!! HAYA SASA KAZI KWAKO

Banza stone na Rogert Hegga
Banza Stone(Mwalimu wa waalimu)
Mkurugenzi Ally Chocky
Jamani huyu ndo anatufanya mashabiki tufurahie burudani, siyo kila siku waimbaji tuuu tuwakumbuke na hawa pia
Vijana wakiwa kazini hawana masihara maana ndo wanapopatia heshima hapo
Ikafika zamu ya dadaz sasa
Mamaa Aisha madinda
Mamaa Otilia mutoto ya Lindiiiiiii
Ukitaka kuwafaidi zaidi pita pale pande za Meeda kila Jumapili
Mashabiki nao wakaingia kati kucheza, maana wanasema utamu wa ngoma nawe uingie ucheze
Ikafika tym ya khanga moja sasa, hapo unaambiwa kila mmoja alipagawa maana hawa wadada wa hatariiiiii, mmh
Jamani kukaa mbele nako kuna raha na karaha zake, nilimuonea huruma huyu baba sasa kama hakuaga nyumbani ndo balaa linapozuka
Jamani kama ni mzuka basi wa huyu dada ni hatarii maana umempanda hadi balaa
Mwishoni nikakutana na Aisha, hapo tukisalimiana na kupongezana kila mmoja kwa kazi anayoifanya, tukafanya kainterview kidogo
Tukauza sura kama unavyoona then safari ya kurudi home ikaanza

No comments:

Post a Comment