Sunday, June 5, 2011

NUSU FAINALI YA MANYWELE KIMWANA WA TWANGA PEPETA Tar 27.05.2011

Vimwana wakionyesha uwezo wao wa kucheza moja kati ya style za Twanga pepeta walizoonyesha usiku huo
Vimwana wakiendelea kutupa kete zao kabla ya kuwapata 10 bora ambao watachuana katika hatua ya Fainali
Kijah mmoja kati ya waliokuwa Washerefeshaji wa siku hiyo
Kutoka kushoto ni Kijah, Mariah Soloma(mnenguaji wa twanga pia na Sauda mwilima(mtangazaji wa Bongo beat) aliyekuwa mshereheshaji mwenzangu siku hiyo
Kushoto ni Jaji mkuu wa manywele kimwana wa Twanga akitangaza majina ya walioingia 10 bora watakaopambana katika hatua ya Fainali
Wanenguaji wa Twanga Pepeta kisima cha burudani wakisindikiza mpambano huo
Mmoja kati ya Editors wa vipindi vya Eatv, Joseph Munthali (kushoto) akiwa na shabiki kulia wakifuatilia kinyang'anyiro hicho cha kumsaka kimwana
Vimwana walioingia katika hatua ya 10 bora katika picha ya pamoja wakiwa na majaji na mratibu wa shindano hilo Maimartha Jesse (mwenye nguo nyekundu)
Wafanyakazi wa Eatv nao wakiwakilisaha, Kutoka kushoto ni Wyclife Willy(EA Music Cordinator), Rehema Jarufu na Olympia Fraten





No comments:

Post a Comment