Tuesday, June 28, 2011

MAPACHA WATATU NDANI YA STEJI MOJA NA WAKALI WA BONGO FLEVA

Band ya muziki wa Dansi iliyojipatia umaarufu mkubwa bongo MAPACHA WATATU inayoongozwa na JOSE MARA, KHALID CHOKORAA na KALALA JUNIOR wanatarajia kufanya onyesho kali kwa kushirikiana na wakali wa Bongo Fleva  JUMAPILI Tar 03.07.2011
Akizungumza na Blog hii muandaaji wa Show hiyo Kali Suleiman Semunyu amesema wana Bongo Fleva hao watakaoangusha Show na Mapacha Watatu ni ALLY KIBA alietamba na vibao vikali km Mac Mugan, Cinderella, Hands across the World alioshirikiana na wakali kibao akiwemo R-KELLY na nyinginezo.
ALLY KIBA
 BARNABAMsanii mwingine ni ELIAS BARNABAS a.k.a BARNABA kutoka THT aliyetamba na vibao vingi km Mbalamwezi, SMS vingine vingi

No comments:

Post a Comment