Monday, June 27, 2011

NAPE APOKELEWA KWA FURAHA MKOANI LINDI

Katibu wa NEC Itikadi na uenezi CCM, NAPE NNAUYE  akikabidhi Kabrasha kwa Mwenyekiti wa CCM kata ya Mtanda Mh.Issa Malocho katika mkutano wake na Wajumbe wa mashina katika ukumbi wa Lindi Oceanic Hotel, Lindi Mjini
Wajumbe wa mashina wa KATA zote 18 za wilaya ya Lindi wakifuatilia kwa umakini mkubwa KIKAO hicho
NAPE NNAUYE akijumuika kutoa burudani na kikundi cha sanaa ya ngoma alipofanya mkutano wa Hadhara katika uwanja wa Fissi mjini Lindi
Nape akiwapungia mkono kwa ishara ya kuwaaga wanachama wa CCM waliohudhuria mkutano
NAPE kiwahutubia wananchi wa Kilwa

NAPE akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi Bw. Ally Mtopa wakati wa mkutano wake wilayani Kilwa

PICHA KWA HISANI YA LINDI PRESS CLUB(LPC)

No comments:

Post a Comment