Monday, June 27, 2011

NDOTO YA JAYDEE NA MTUKUDZI YATIMIA

Mwanadada anaetisha katika Game ya muziki BONGO ambae pia ni mmiliki wa Machozi Band, LADY JAYDEE amekamilisha ndoto yake baada ya kufanya ngoma na Mwanamuziki mkongwe kutoka Zimbabwe OLIVER MTUKUDZI, Ngoma hiyo ambayo ipo jikoni inafahamika kwa jina la MIMI NI MIMI imerekodiwa usiku wa Jumatatu iliyopita.

Lady Jydee na Oliver Mtukudzi kazini

Mazoezi inafaa pia siku moja nawe uweze kulichezea

Mazoezi muhimu kabla ya kuanza kazi

Mzungu kichaa nae alikuwepo

Siku za hivi karibuni JAYDEE NA MTUKUDZI waliwahi kufunguka kupitia Ting'a namba wani kwa Vijana EATV katika kipindi cha Afrobeat kila mmoja akidai kuwa ana ndoto ya kupiga kolabo na mwenzake

PICHA kwa Hisani ya Ladyjaydee.Blogspot

No comments:

Post a Comment