Thursday, January 24, 2013

DIAMOND NDANI YA PENZI ZITO LA VJ PENNY WA DTV


Nyota wa Bongo Fleva anayemake headlines kila kukicha, Diamond Platnumz sasa ameibuka na story mpya kuwa anatoka kimapenzi na mtangazaji wa DTV VJ Penny na hivi sasa mapenzi yao ni moto moto kama unavyoona pichani juu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari ni kuwa mapenzi yao yalianza siku ambayo Platinums alialikwa kwenye kipindi kinachoendeshwa na mwana dada huyo kwenye Luninga ya DTV kama hiyo picha inavyoonyesha (hiyo picha ilipigwa siku hiyo) na baada ya show hiyo wawili hao walikwenda kujiachia na ndiyo ukawa mwanzo wa mapenzi yao ambayo mpaka sasa yako hot na mwana dada huyo hakauki nyumbani kwa Diamond.
                                         
Picha hizo zote mbili zimeonekana kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook na ndipo story za mapenzi ya wawili hao zilipoanza kuzagaa.

No comments:

Post a Comment