Tuesday, March 27, 2012

BONANZA LA WANAHABARI LILIVYOKONGA NYOYO ZETU

Warembo wa FM Academia wazee wa Ngwasum wakipagawisha

2getha 2nawakilisha(Kutoka kushoto ni mimi, Bhoke, Happy na nyuma mwenye pink ni Prudence na Amallu kwa mbaalii) tukiwakilisha EATV Team.

Khadija Kalili kulia wa bongoweekend.blogspot.com na mdau Esther

Wazee wa Ngwasuma wakiendelea kutuonyesha wao ni nani hapa mjini

Mzuka ukiendelea mamaa Happy nae akiwajibika na vimwana wa Ngwasuma

Ikafika zamu ya mgeni rasmi Mh. Sitta kutoa neno lake kwa wanahabari
Burudani ikaendelea yaani ilikuwa hakuna kukaa ni burudani kwa kwenda mbele naona mzee wa kajunason nae akitupa kampan warembo
Kutoka kulia ni Halima, Zamzam, Wilbroad, Sophia na Irene(Wote kutoka Eatv)
Sauda Mwilima kushoto na Irene Moshi wakishow love
Marygoreth Richard na Fadhil Kiwia kutoka dawati la habari
Mkuu wa vipindi Eatv Lydia Igarabuza akishow na Ian Diallo kutoka Breakfast show ya Earadio
Kwa kweli moto uliwaka siku hiyo maana hadi wazee wa Ngwasuma wakapata hofu na kazi yao wakihisi kunyang'anywa
Hapo ni samaki ana vipande vingapiiiii vitatuuuuu, ulikuwa mpambano mkali sana, nikiwakilisha Afrobeat mwenye top nyeupe katikati hapo
Mimi, Prudence Gerald wa 5connect na mamaa Dotnata ambae kampuni yake ilihusika katika suala la msosi
Fatma Nyangasa wa ITV, Halima, Lydia, Irene kwa mbaaali ni Marco Killo na Fadhil
Kutoka Ze Comedy show ya Eatv, kushoto ni Master face, Massawe mtata, Mtanga,Kiwewe na Shabaniii

Hapa ni ile style ya ingia kati tuone kiuno chako na zamu yangu ikafika
Ngwasuma wakapumzika na kuwapisha wanaume TMK nao wakatuonyesha kwa nini wanaitwa wanaume Famili, wakiongozwa na Bibi Cheka
Meza kuu wakifurahia burudani


Msosi timeeeeeeeee
 

No comments:

Post a Comment