Tuesday, September 13, 2011

RWANDA VS TANZANIA

Huyu ni mwanafunzi wa Tanzania nchi ambayo mwaka huu inatimiza miaka 50 ya uhuru (akiingia darasani)

Na hawa ni wanafunzi wa Rwanda ambao wametoka kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka mitano iliyopita
Nimeweka hii post nikiamini unaweza kujifunza kitu katika hizi picha mbili, Tanzania yetu ndipo ilipo sasa na huo ni mfano mmoja tu lakini ukitembea katika maeneo mbalimbali hapa nchini utjionea mwenyewe jinsi wanafunzi wa kitanzania wanavyosoma na kuishi katika mazingira yasiyoridhisha.

 Pamoja na kelele zinazopigwa kila kukicha na baadhi ya vyombo vya habari lakini yanaingia sikio moja na kutokea la pili na hapo ndipo tunapodhihirisha ule usemi wa "kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala"       TEMBEA UONE

Ahsante mdau ANDREW ZOMARI: Kwa picha

No comments:

Post a Comment