Wednesday, September 14, 2011

MWENYEKITI WA MAKAMPUNI YA IPP ATOA RAMBIRAMBI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa makampuni ya IPP MEDIA LTD Bw. Reginald Mengi akikabidhi hundi ya Sh.mil. 40 kwa makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd kwa ajili ya Rambi rambi kutokana na ajili ya kuzama kwa Meli iliyotokea visiwani humo.

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP MEDIA LTD Bw. Reginald Mengi akisaini kitabu cha Maombolezo katika ofisi ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment