Thursday, September 8, 2011

HALI ILIVYOKUWA LEO ASUBUHI PALE MOROCO HOTEL

Umati wa watu ulijaa kushuhudia kilichotokea
Kusimuliwa haifai, jamaa akapark gari yake ili ajionee nini kilichojiri

Magari yaliyogongana ndo hayo hapo
Jamaa sijui anafanya nini hapo


Kama ambavyo umeona hizo daladala mbili ndizo zilizohusisha hiyo ajali kwa kugongana ubavuni, daladala moja ikifanya safari za msasani - Gongo la mboto na nyingine Makumbusho- kariakoo, ila cha kumshukuru mungu ni kuwa hakuna aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa.

No comments:

Post a Comment