Wednesday, September 14, 2011

CHEZEA AFRIKA WEWEEEEEEEE!!!!

Miss Angola ambae ndiye Miss Universe 2011 Leila Lopes
 Miss Universe 2011 Leila Lopes akivishwa Taji na aliyekuwa akishikilia Taji hilo Miss Universe 2010 Ximena Navarette kutoka Mexico.


Hatimaye mashindano ya kumsaka Miss Universe yamefikia tamati ambapo mrembo kutoka Angola Leila Lopes ameibuka kidedea kwa kuwatupa kule wenzake 88 na kunyakua Taji hilo la Miss Universe 2011.

Mashindano hayo yamefanyika usiku wa kuamkia Leo huko Sao Paulo, nchini Brazil, ambapo Tanzania tuliwakilishwa na Mrembo Nelly Kamwelu.

No comments:

Post a Comment