Wednesday, September 7, 2011

MAMBO YALIVYOKUWA NDANI YA TRIZ MOTEL NA BURUDANI KUTOKA K-MONDO SOUND

Hapo nikifanya Interview na Mangustino a.k.a Teacher Mangu
Interview ikiendelea
Burudani kwa kwenda mbele
Nimekuonjesha tu hapo lakini kiukweli ilikuwa ni burudani ya nguvu mimi nilicheza na kuimba mpaka sauti ikaanza kukauka nikasema sasa imetosha nikaondoka nikawaacha wapenda burudani wakiendelea kuburudika, kama hujawahi kuwatembelea nakushauri uende ili ukonge roho yako, lakini pia usikose kupata burudani hiyo kupitia Afrobeat ya Eatv Jumamosi hii saa moja jioni.

No comments:

Post a Comment