Monday, November 21, 2011

USIKOSE KUANGALIA WANAWAKE LIVE SEASON 2 LEO SAA 3 KAMILI USIKU

Mwanamke mtoto mwaya (hapo akituonyesha kilichomfanya aende mapumziko, ndo huyo baby Lincoln)
Madam Ritha nae atakuwepo pia kwenye kipindi hiki cha leo ambapo yeye ndo atafungua pazia la Season 2 kwa upande wa waalikwa
Mamaa wa 8020 fashions na Amina Plummer a.k.a Amina Design nao pia utawaona, najua una hamu kubwa ya kufahamu wamezungumzia kitu gani basi tega jicho lako leo saa 21:00 usiku
Kutoka kushoto ni Dk.Marina Njelekela ambae ni mkurugenzi Hospitali ya Taifa Muhimbili, Shamim, Nasra na Amina Design hao wote watakuwepo kwenye kipindi leo
Baada ya kipindi kumalizika wageni wote na mwenyeji wao wakapata picha ya pamoja, amekosekana Madam Ritha tu kwa kuwa aliwahi kuondoka kutokana na majukumu
Kipindi kiko Hot sana ili usipitwe na uweae kufahamu nini ambacho kimezungumzwa basi kaa karibu na TV yako leo saa 21:00 usiku ni EATV Tinga namba moja kwa vijana pekee......




No comments:

Post a Comment