Thursday, November 17, 2011

NA MTWARA PIA WAPOOOOOO

Anaitwa Dogo Das, ni msanii wa kitambo kidogo na ni maarufu mkoani Mtwara lakini hakupata nafasi ya kushine katika sehemu zingine. Ametoka na ngoma yake inaitwa BADO MAPEMA ambayo oimefanyika katika Studio za K.P Production na mzigo umesimamiwa na Producer Jofu Master kutoka pande hizo hizo za Mtwara.
Dogo anahitaji support yetu sisi wadau wa muziki na mwenyewe anategemea kuwa ngoma hii ndo itamtoa baada ya kusota kwa muda mrefu bila ya mafanikio. Support yako wewe mdau ni muhimu sana kwa huyu dogo!!! Hata MTWARA PIA WAPOOOO.....

No comments:

Post a Comment