Tuesday, November 1, 2011

HONGERA KANUMBA NA MONALISA

The Great katika pozi na malkia wa Bongo movies(Monalisa) huko nchini Ghana ambako wanashoot Trailer ya Filamu ya itakayorekodiwa March mwakani katika nchi za Ghana, Dubai, Afrika kusini na New York - Marekani

Hawa ndio wapiga picha wao na hizi ndizo aina ya Camera wazitumiazo

Mona na Omary Captan kutoka Tinsel

Prince Richard Nwaobi na The Great

Location

Huyu mdada ndiye mhusika mkuu kutoka Ghana, sikupata jina lake

Kijana kazini

The Great,mkaka hapo kati anaitwa Mr. Angell cjajua anatokea nchi gani na Mona.
                                Tunawatakia kila la kheri ndugu zetu tunaaamini hamtatuangusha pia.
                                 Source: kanumba the Great

No comments:

Post a Comment