Wednesday, July 31, 2013

Watukana matusi mitandaoni kuchukuliwa hatua

Wale wote watakaotukana matusi kwenye mitandao, na kupotosha umma kwa habari za uongo, TCRA inasema itawachukulia hatua.

TCRA leo imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii na mawasiliano.

Mkurugenzi wa TCRA , Prof John Nkoma amesema lengo kampeni hiyo ni kupunguza matusi katika mitandao ya kijamii na kupotosha jami kwa habari zisizokuwa na uhakika na za kuchochea vurugu.

Pia TCRA imezindua wimbo maalum wa kampeni hiyo uitwao FUTA, DELETE, KABISA na umeimbwa naye Banana Zorro pia Mrisho Mpoto

No comments:

Post a Comment