Tuesday, July 23, 2013

Maneck ajichora Tattoo yenye jina la Ngwair

Producer Maneck wa Am Records yupo kwenye harakati za kumalizia kuchorwa Tatto ya Rafiki Yake wa karibu Marehemu Albert Mangweha.

Maneck amesema sababu za kuchora tatto hii ni kama kumbukumbu ya milele ya rafiki yake Ngwear. Walifahamiana kwa muda mrefu, wamefanya kazi pamoja na ni tendo la msingi yeye kuchora hii tatto.

Mpaka sasa haijakamilika Ila Soon atamalizia, Maneck Ana Tatto 7 Kwenye mwili wake hii ni ya 8. Hii Anachora mkono wa Kushoto ndio upande wa kuchora mambo ya muziki.

No comments:

Post a Comment