Tuesday, July 16, 2013

Wanajeshi 7 waliofariki Sudan, wako njiani wanarejeshwa Tanzania

Wanajeshi waliofariki jumamosi iliyopita tayari miili yao imeagwa huko Darfur Sudan na wanasafirishwa kuja Tanzania kwaajili ya mazishi. Hizi ni baadhi ya picha zikiwaonesha wakati wakiagwa na kuweka katika gari kwaajili ya kusafirishwa na pia majeruhi waliolazwa.















No comments:

Post a Comment