Tuesday, August 20, 2013

Young D aja na 'Kijukuu'

Msanii wa Bongo fleva Young Dar es Salaam (Young D) anatarajia kuachia kichupa chake cha Kijukuu wiki ijayo.

Kichupa cha ‘Kijukuu’ kimefanyiwa na director anaekuja kwa kasi hapa Tzee’ Nisher’ kwa uwezo wake mkubwa anaouonesha katika baadhi video zilizotoka,na Location iliyotumika katika video ya ‘Kijukuu’ ni ya jiji la Dar es Salaam.

Young D alifunguka kuhusiana na video yake “ Kichupa changu nimekifanya kwa Nisher na location imetumika ya mkoa wa Dar es Salaam na nimeamua kufanyia hapa Dar kutokana na kuwepo kwa material mengi, so fans wangu wategemee kichupa kikali na next week watakiona kwenye luninga zao”

No comments:

Post a Comment