Wednesday, September 11, 2013

Jokate akanusha kumegana na Lucci


Mwanamitindo ambaye pia kw saa amejikita katika tasnia ya muziki akijulikana kama Jokate Mwegelo au maarufu kama Kidoti ambae kwa sasa anatamba zaidi na ile ngoma ambayo amefanya na Producer Lucci inayoitwa Kaka Dada.

Kutoka mtandao wa instagram kupitia ukurasa wa Kidoti ameonekana kufunguka juu ya mahusiano yake ya producer huyo.

 Maana tangu waachie video ya ngoma hiyo kumekuwa na story nyingi tofauti katika mitandao tofauti ikidai kuwa wawili hao ni wapenzi.

Cheki huu ndio ujumbe alioandika msanii Jokate masaa machache kutoka Instagram...

Soma hapa..

No comments:

Post a Comment