Wednesday, September 25, 2013

50 CENT aanza kufulia

Miaka mitatu kama sio miwili iliyopita 50 Cent alikuwa akishikilia nafasi za juu kabisa huku akinyemelea nyao za Jay Z na P Diddy.

Kwenye mtiririko ambao unatolewa na Forbes, 5o Cent ameshika nafasi ya 19 kwenye list ya wasanii wa hip hop wanaoongoza kuwa na hela nyingi.

Nafasi ya kwanza inashikiliwa na P Diddy wakati Jay Z akishilia nafasi ya pili, Dr Dre nafasi ya tatu, Nick Minaj nafasi ya nne wakati boss wake Birdman anashika nafasi ya tano, sita ni Kanye West, Saba ni Lil Wayne.

50 Cent amepitwa na wasinii ambao wamechipukia kwenye game kama Kendrick Lamar na Macklemore.

No comments:

Post a Comment