Wednesday, September 25, 2013

Bongo Movie inashikiliwa naye JB na Wema

Baada ya utafiti uliyofanywa umebahatika kuwapata wasanii wa Bongo muvi wanaongoza kwa kupendwa na mashabiki hapa Tanzania kutokana na kazi zao za Filamu.

JB ni mmoja wa wasanii kwa upande kiume anaeongoza kwa kupendwa na mashabiki wake kutokana na uwezo wake katika uigizaji wa muvi.

Funga kazi kwa mwanadada Wema Sepetu ndiyo msanii wa pekee wa Bongo muvi anaeongoza kwa kupendwa na mashabiki lukuki wa mjini na vijijini, licha kuwa na skendo zake kibao ila Watanzania wana-show love kwake.

No comments:

Post a Comment