Friday, June 29, 2012

VINCENT KIGOSI(RAY) AFANYA UZINDUZI WA FILAMU YA SOBING SOUND SAMBAMBA NA KUTOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Vincent Kigosi (Ray) na meneja wa Steps Ent. Ignas Kambarage wakiwa na Watoto Yatima wa kituo cha Maunga Centre kilichopo kinondoni DSM, baada ya kukabidhi msaada katika kituo hicho
Msanii wa filamu nchini, Vincent Kigosi(Ray) akikabidhi msaada kwa mlezi wa kituo cha Maunga Centre Bi. Zainab Bakari, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa filamu yake ya Sobbing Sound aliyocheza kwa kushirikiana na Mastaa wengine ambao ni Irene Uwoya na Haji Adamu(Baba Haji).. katika tukio hilo vyakula mbalimbali vimetolewa vikiwa na thamani ya shilingi milioni moja.

No comments:

Post a Comment